KUKOSA HEDHI(AMENORRHEA), Chanzo, Dalili na Matibabu
Katika siku za karibuni, kumekuwa na changamoto kubwa kwa wanawake walio katika umri wa uzazi kutokupata hedhi (Amenorrhea) au kupata hedhi nje ya mpangilio maalumu. Hali hii siyo tuu hupelekea...
Faida, athari na mazingatio ya matumizi ya Virutubisho (Supplements)
Neno 'virutubisho lishe' ni neno la jumla linaelezea bidhaa ambazo ni muhimu kwa afya lakini hazipatikani au hazitoshi katika lishe hivyo kusababisha kuhitaji kuchukuliwa tofauti. Mahitaji ya...
Kudhibiti Kisukari wakati wa mfungo wa Ramadhani
Assalamu’alaikum Warahmutullahi Wabarakatuh. Natumai mu wazima wa afya na mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku. Waumini wa dini ya Kiislam duniani kote wameingia katika mfungo wa mwezi mtukufu...

0
Watu tuliowafikia (2020)

0
Nchi tulizozifikia (2020)

0
Active users (2020)

Fuatilia maendeleo ya ujauzito kupitia TanzMED
Nyenzo hii, inakuwezesha kufuatilia maendeleo ya ujauzito, kanuni bora za afya wakati wa ujauzito na hata dalili hatarishi wakati wa ujauzito wiki hadi wiki, kuanzia wiki ya kwanza mpaka unapojifungua. Pia, utaweza kupata ushauri wa Daktari pindi unapohitaji.
Magonjwa
Partners
