Afya ya jamii (80)
Kwa habari kedekede za afya
Children categories
Ugonjwa wa saratani ya Ubongo (
Written by Dr Juma MagogoSaratani ya ubongo ni uvimbe uliotokana na mkusanyiko wa chembebehai za ubongo zilizotengenezwa kwa wingi bila mpangilio kutokana na kubadilika kwa DNA. Ikiwa chembehai hizo ni za
Fahamu ukweli, hatari na matibabu
Written by Dr Juma MagogoKichwa kikubwa ni ugonjwa wa watoto wachanga wa kutanuka chemba za maji za kichwani na hivyo kupeleka muonekano wa kichwa kuwa mkubwa. Ugonjwa huu ni matokeo ya
Fahamu kuhusu ugonjwa wa Kipanda
Written by Dr Juma MagogoKipanda uso ni ugonjwa wa kinasaba unaosababisha maumivu makali ya kichwa kwenye paji la mbele la uso zikiambatana na dalili nyingine ambazo zinaathiri kazi za maisha ya
Fahamu kuhusu ugonjwa wa Kiharusi,
Written by Dr Juma MagogoKiharusi ni hali ya kuziba (ischemic) au kupasuka (hemorrhagic) kwa mishipa ya damu ya ubongo na kisha kupelekea ku ‘paralize’ au kifo. Kuna
Kifafa: Ufafanuzi na Aina Zake
Written by Dr Juma MagogoKifafa ni milipuko na mivurugano ya mfumo wa umeme wa kwenye ubongo kunakoweza kupelekea kupoteza fahamu kwa dakika kadhaa pamoja, kujikolea ama hata kutokwa na
Umri wa mtoto kuanza kung'
Written by TanzMED AdminKwa kawaida, meno ya mtoto ya utotoni (meno ya awali) huanza kutoka kuanzia miaka 6. Kwa baadhi ya watoto, huweza kuchelewa kuanza kutoka meno ya utotoni hadi wanapoanza
Afya ya Kinywa na meno
Written by TanzMED AdminAfya bora ya kinywa na meno kwa mtoto ni muhimu sana na ina uhususiano wa moja kwa moja na afya yake kwa ujumla. Humuepusha mtoto kupata maumivu,
Ufahamu kuhusu virusi vya Corona
Written by TanzMED AdminHiki ni kirusi cha aina gani?
Corona ni jamii kubwa ya virusi vinavyosababisha maradhi kwa wanyama na binadamu. Kwa binadamu, jamii kadhaa za
Maumivu ya Korodani/pumbu, chanzo,
Written by TanzMED AdminKWA kawaida mwanaume ana korodani mbili ambazo zimehifadhiwa katika mfuko maalum wenye tabaka tatu na ndani kuna kiasi kidogo cha maji kinachozunguka korodani ili kuilinda. Mwanaume endapo
Kupungua au Kukosa Hamu ya
Written by Dr KhamisMatatizo ya kukosa au kupungua hamu ya kujamiana yanatambulika kama tatizo linalojirudia kwa muda mrefu ambapo huathiri mzunguko wa tendo la kujamiana (kusisimka, kufikia kilele, kurudia) na
More...
Wagonjwa wa Saratani ya Uume (
Written by Dr KhamisWatafiti kutoka kampasi ya chuo cha Gustave Roussy Cancer Campus cha nchini Ufaransa wamesema ya kwamba matibabu ya saratani ya uume kwa kutumia brachytherapy (mionzi)
Uvutaji bangi kwa mzazi husababisha
Written by Dr KhamisWanaume wanaovuta bangi wapo kwenye hatari ya kupata watoto wenye matatizo ya kiakili kama kutomudu masomo ya darasani, wamesema wanasayansi kutoka chuo kikuu cha Pennsylvania, nchini Marekani.
Maambukizi ya Fangasi katika Sehemu
Written by Dr KhamisKati ya maambukizi yanayowasumbua wanawake wengi duniani ni maambukizi ya fangasi. Inakisiwa asilimia 75 ya wanawake wote duniani hupata maambukizi haya katika kipindi cha uhai wao.
Mafunzo kwa picha: Nyonga na
Written by Dr KhamisHakuna ubaya wowote kwa mtu kutaka kupendeza. Swala la kuonekana mzuri au kuwa mtanashati limekuwa sehemu muhimu kwa maisha ya binadamu hususani upande wa dada zetu. Si