Afya ya jamii (80)
Kwa habari kedekede za afya
Children categories
Je,Kujamiana Huondoa Msongo wa
Written by Dr KhamisUtafiti uliofanywa na chuo kikuu cha State University cha Jijini New York nchini Marekani umesema ya kwamba manii ni nzuri kwa wanawake kwani huwaondolea msongo wa mawazo.
Penda Mwili Wako: Parachichi Kinga
Written by Dr KhamisUnywaji Pombe, Uvutaji Sigara na
Written by Dr KhamisKimengenyo (enzyme) ambacho ni protini aina ya CYP2E1 kimegundulika kuwa ndio chanzo kinachochangia wanawake kupata saratani ya matiti kwa wanawake wanaotumia vilevi. Kwa muda mrefu wanasayansi
Mpigie Kura Dr. Nahya Salim
Written by Dr Fabian P. Mghanga
Fikiria:
- Mara zote tumekuwa tukihimiza kuwapa nafasi wasomi na watafiti wetu ili wafanye mambo ya
Ugonjwa wa Moyo Unaosababishwa na
Written by Dr.MayalaUgonjwa wa moyo unaosababishwa na simanzi au kuachana na mpenzi/mwenza wako yoyote yule hujulikana kitaalamu kama Takostubo au broken heart syndrome.
Ugonjwa huu husababishwa
Ripoti ya utafiti iliyochapishwa katika jarida la Health Physiology na kuchapwa katika wavuti ya WebMD inadai kuwa watu wazima wenye tabia ya kufanya mazoezi
Wiki chache zilizopita tuliandika makala kuhusu madai kuwa mafuta ya nazi yana uwezo wa kutibu ugonjwa wa kusahau unaowapata wazee maarufu kama Alzheimer’s disease. Katika makala
Si mara chache tumewahi kushuhudia au kusikia mtu au kundi la watu likiugua ghafla baada ya kula chakula katika mkusanyiko au sherehe. Bila shaka nawe ni mmojawapo
More...
Chai Huongeza Uwezekano wa Kupata
Written by Dr KhamisUtafiti uliofanywa na Chuo Kikuu cha Marekani cha Boston umesema unywaji wa chai vikombe viwili kwa siku huongeza uwezekano wa mwanamke kupata ujauzito. Katika utafiti uliohusisha wanawake 3,600
Mambo ya Kuzingatia Kabla ya
Written by Dr KhamisZamani ilikuwa ni kawaida kuona wanawake wanatoboa masikio, pua, ili kuvaa aina mbalimbali za herini na shemeri. Siku hizi si ajabu kuona wanaume na wanawake wakijitoboa au
Matumizi ya mafuta ya nazi
Written by Dr Fabian P. MghangaMakala hii iliandikwa na Dada Subi wa tovuti ya wavuti.com akizungumzia kuhusu umuhimu wa kufanyika kwa utafiti juu ya dhana