Image

Leukemia ni saratani inayoshambulia tishu za mwili zinazohusika na utengenezaji wa damu zikiwemo supu ya mifupa (bone marrow) na mfumo wa lymph (lyphatic system). Kwa maneno rahisi, leukemia humaanisha saratani ya damu. Kuna aina mbalimbali za leukemia, nyingine zikiathiri watoto na nyingine zikiathiri zaidi watu wazima.

Kwa kawaida leukemia huanzia kwenye chembe nyeupe za damu yaani white blood cells, ambapo mwili huzalisha kiwango kikubwa cha seli zenye maumbo mabaya ambazo hazina uwezo wa kufanya kazi zake sawasawa. Kazi ya chembe nyeupe za damu ni kulinda mwili dhidi ya vimelea waletao maradhi mbalimbali.

Leukemia husababishwa na nini?

Kama zilizo kwa aina nyingi za saratani, mpaka sasa chanzo halisi cha leukemia hakijulikani. Hata hivyo, wanasayansi wanadai kuwa leukemia hutokea kutokana na mkusanyiko wa vyanzo mbalimbali vikiwemo vinavyohusu sababu za kinasaba (genetic factors) na kimazingira.

Kwa ujumla, leukemia hutokea pindi chembe nyeupe za damu zinapobadilika muundo wake wa kinasaba yaani viasili vyake vya DNA, ambavyo kwa kawaida hubeba maelekezo yanayoifanya seli yeyote ya kiumbe hai iweze kuishi, kutenda kazi zake, kujizaa na hata kufa, vinapobadilika maumbile na muundo wake kutokana na sababu mbalimbali. Kitendo cha kubadilika kwa maumbile na muundo wa DNA hujulikana kama mutation. Ndiyo kusema basi, seli yeyote iliyopatwa na tatizo hili huwa na tabia ya kukua kwa haraka na kujizaa (kujigawa) kwa kasi zaidi kuliko kawaida, na pindi inapofikia muda wake wa kufa seli hiyo hugoma kufa badala yake huendelea kujizaa zaidi hatimaye kusambaa kwa wingi katika mfumo mzima wa damu, hali inayosababisha saratani ya damu.

Je, kuna vihatarishi vya leukemia?

Malaria is known to be the largest single  component of the burden of diseases in Tanzania for both morbidity and mortality especially for under fives and pregnant women. In Dodoma region, the prevalence of malaria among underfives is 12.5% while, in Bahi District Council, about 60,000 people of all ages suffer from malaria every year.

Malaria diagnosis is first suspected on defined features and then confirmed by laboratory tests mainly through microscope; however in the year 2010, the cheapest and easiest laboratory test was introduced in Bahi District Council namely Malaria Rapid Diagnostic Test (m-RDTs).

Malaria Rapid Diagnostic Test (m-RDT) is a test that assists in the diagnosis of malaria by providing evidence of presence of malaria parasites in the human blood within a very short period of time and it’s considered to be user friendly as it doesn’t need one to have advanced lab training.

The prevalence of malaria in our district council was reported to be higher prior to introduction of m-RDTs, and malaria was always ranked number one in the district’s top ten diseases. However, after the introduction of  m-RDTs in the year 2010 there has been changes on the trend of the top ten diseases as the number of malaria cases is  currently on the decline compared to the same period of time before the use  this rapid test. The aim of this study was to determine the success obtained after introduction of m-RDT as a tool for diagnosis of malaria in Bahi District Council.

The study design was descriptive comparative study, in which District Health Information System data base gathered from Health facility reports were used. The information obtained was organized and computerized in a soft ware. Analyses were based on descriptive and comparisons between two periods of January – June 2011 and the same time period of the year 2010. All tests were done using relevant statistical tests.

The findings reported a high number of malaria cases between January and June 2010 when both microscope and clinical diagnosis for malaria were still used in the diagnosis of malaria, compared to the same six months-period of January to June, 2011 when we started using malaria rapid diagnostic tests (m-RDTs) as an adjuvant doagnostic modality for malaria. In overall malaria case diagnosis was reduced by 65% for under fives, 58% for above five years and 63% for patients of all ages. This difference was found to be statistically significant. In the year 2010 malaria was leading among the district’s top ten diseases reporting 39,295 cases followed by Acute Respiratory Tract Infection (ARI) which had 17,126 cases. On the contrary, until June 2011, ARI was reportedly leading with 21,244 cases followed by malaria with 17,126 cases.

Microscope remains the gold standard for malaria diagnosis, however due to reasons such as lack of skilled laboratory personnel and unavailability of microscopes and reagents, the best diagnostic modality at the moment would be malaria rapid diagnostic tests which can help in the over- and/or mis-diagnosis of malaria and patients’ mismanagement who actually have other diseases than malaria.

From our findings we recommend that, it is time now we review our malaria treatment guidelines including its testing algorithms  in order to improve the quality of health care delivery through proper management of malaria cases by use of m-RDT especially for the developing countries.

The author declares no conflicts of interest.


The author is Public Health Specialist, and a District Medical Officer (DMO) for Bahi District Council in Dodoma, Tanzania.


 

Photo Credit: NMCP

Ugonjwa sugu wa figo hutokea pale figo zinazopoteza uwezo wa kutenda kazi unaotokea taratibu na kudumu baada ya kitambo fulani. Hali hii hutokea taratibu, na huchukua muda wa takribani miezi kadhaa hata miaka. Ugonjwa sugu wa figo umegawanywa katika hatua kuu tano, kulingana na ukubwa wa tatizo.

Figo linapopoteza uwezo wake wa kutenda kazi, kusanyiko na limbikizo la maji, uchafu na sumu hutokea mwilini mwa mgonjwa. Aidha kushindwa kufanya kazi kwa figo husababisha pia kutokea kwa maradhi mengine kama vile upungufu wa damu mwilini (anemia), shinikizo la damu (hypertension), ongezeko la tindikali kwenye damu (acidosis), ongezeko la lehemu na mafuta kwenye damu, na magonjwa ya mifupa.

Hatua ya tano ya ugonjwa sugu wa figo hujulikana pia kama kushindwa kufanya kazi sugu kwa figo (chronic kidney disease au end-stage-renal disease).

Tofauti ya Ugonjwa sugu wa figo na kushindwa kufanya kazi kwa figo kwa ghafla (AKI) ni kwamba AKI hutokea ghafla, huchukua muda mfupi kati ya siku hadi wiki kadhaa kuwa tatizo kubwa zaidi. Tofauti nyingine ni kuwa AKI hutokana na tatizo linaloathiri figo moja kwa moja, mishipa yake ya damu au mtiririko wa mkojo unaotoka kwenye figo. Aidha ARF mara nyingi huweza kurekebishwa na mgonjwa akapona kabisa, ingawa kwa baadhi ya wagonjwa sehemu fulani ya figo inaweza isipate nafuu na ikaendelea kudorora kiutendaji kazi.

Hatua za Ugonjwa Sugu wa Figo

Hatua hizi zimegawanywa kulingana na kiwango cha GFR kilichofikiwa na figo husika. GFR kwa kirefu Glomerular Filtration Rate ni kiwango kinachoonesha uwezo wa utendaji kazi wa figo. GFR hupima uwezo wa glomeruli (chujio) la figo katika kuchuja uchafu, maji pamoja na sumu nyingine kwa kila dakika moja kwa mtu mwenye wastani wa urefu wa mita za mraba 1.73. Kadiri jinsi GFR inavyopungua, ndivyo inavyoashiria ukubwa wa tatizo katika figo.

Katika muendelezo wa magonjwa ya moyo ya kuzaliwa nayo, leo nitagusia kuhusu Tundu katika kuta za juu za moyo (atrial walls) au kwa kitaalamu Atrial septal defect (ASD).

Wakati kijusi (fetus) kinapo endelea kukua, kuta kati ya atria mbili za moyo nayo hukua (kitaalamu interatrial septum) ili kutenganisha chemba ya kulia na kushoto. Lakini katika kipindi hiki huwa kuna tundu kati ya kuta hizi kitaalamu huitwa foramen ovale.

Tundu hili ni la kawaida kwa kipindi hiki cha kijusi, tundu hili husababisha damu yenye oksijeni  kutoka kwenye kondo la mama (placenta) kutokwenda kwenye mapafu amabayo hayaja komaa na kuelekea sehemu nyingine za mwili hasa kichwani. Kipande cha tishu kinachoitwa kitaalamu septum primum hufanya kazi kama valvu katika tundu hili. Mara tu mtoto anapozaliwa, shinikizo katika mishipa ya damu ya mapafu (pulmonary circulatory system) hushuka na kusababisha tundu hili (foramen ovale) kufunga kabisa.

Tundu hili huwa halifungi kabisa kwenye karibu asilimia ishirini na tano ya watu wazima, hivyo pindi shinikizo likiongezeka katika mishipa ya damu ya mapafu (hali inayoweza kutokea kwa sababu ya kuwepo kwa shinikizo la damu kwenye mapafu (pulmonary hypertension) kutokana na sababu mbalimbali, au kuwa na matatizo ya kikohozi cha muda mrefu), husababisha tundu la foramen ovale kutofunga na kubaki wazi. Hali hii kitaalamu huitwa patent foramen ovale (PFO).

Aina za tundu katika kuta za juu za moyo

Mpaka sasa, zipo aina kuu sita za tundu katika kuta za juu za moyo, ambazo ni

Utangulizi

Ugonjwa wa Alzheimer's ni miongoni mwa magonjwa ya ubongo yanayoathiri zaidi wazee au watu wa umri wa makamo. Ugonjwa huu ambao huanza polepole na kuchukua muda mrefu kujitokeza kwa kawaida hauoneshi dalili ya kupata nafuu mara unapoanza.

Ugonjwa wa Alzheimers’s ni miongoni mwa makundi ya magonjwa ya akili yanaitwa kitaalamu kama dementia na ambao huathiri zaidi watu wenye miaka 65 au zaidi.

Ugonjwa wa Alzheimer’s unasababishwa na nini?

Mpaka leo hii, chanzo halisi cha ugonjwa wa Alzheimer’s bado hakijajulikana. Hata hivyo, kuna nadharia kadhaa zilizoibuliwa na wanasayansi kuhusiana na baadhi ya visababishi vya ugonjwa huu. Nadharia inayoonekana kukubalika mpaka sasa ni ile ya uhusiano wa kuwepo kwa jamii ya protein inayoitwa amyloid na ugonjwa huu.

Wanasayansi wameonesha kuwa mabadiliko katika vinasaba vinavyodhibiti uzalishwaji wa protini hii ya amyloid ndiyo chanzo kikuu cha ugonjwa huu. Aidha ushahidi uliooneshwa na watafiti hao unasema kuwa mabadiliko haya ya vinasaba yamethibika kwa takribani zaidi ya nusu ya wagonjwa wote waliogunduliwa kuwa na ugonjwa huu.

Katika wagonjwa wote hawa waliofanyiwa utafiti imeonekana kwamba mabadiliko hayo ya vinasaba yamesababisha uzalishwaji uliopitiliza katika ubongo wa aina fulani ya vipande vya protini ijulikanayo kitaalamu kama ABeta (Aβ). Wataalamu wengi wanaamini kuwa, kukosekana kwa udhibiti wa uzalishaji wa aina hii ya protini kunakosababisha protini hii kuwa nyingi mno kwenye ubongo kuliko inavyoweza kuharibiwa ndiko kunakosababisha ugonjwa huu.

Historia ya upasuaji wa moyo

Mapinduzi na maendeleo makubwa katika tiba ya upasuaji wa moyo duniani yanaanzia mwaka 1944 wakati kwa mara ya kwanza duniani katika Hospitali ya John Hopkins nchini Marekani ilifanyika operesheni ya kwanza ya upasuaji wa moyo na kufanikiwa kwa mtoto aliyekuwa na tatizo la moyo la kuzaliwa nalo lililokuwa linasababisha watoto watoto kufa kwa kukosa hewa safi ya oksijeni katika mzunguko wa damu mwilini.

Operesheni hii ilifanywa na Dkt. Alfred Blalock na wanafunzi wake wa upasuaji akiwemo Dkt. Denton A. Cooley (Mwalimu wangu na mwanzilishi wa Texas Heart Institute ya Marekani) baada ya kuombwa na daktari wa watoto, Dkt. Hellen Taussing kujaribu kuokoa maisha ya watoto hao waliokuwa wanakufa bila ya kujua jinsi ya kuwasaidia.

Lakini la muhimu kutambua ni kuwa, operesheni hii ya kwanza duniani ilifanikishwa na kijana Mmarekani mweusi (African-American), Vivien Thomas aliyekuwa msaidizi wa Dkt. Alfred Blalock kwa majaribio ya kisayansi aliyewezesha kufanyika kwa operesheni hii na akafikia kupewa Udaktari wa Heshima (Honorary Doctor of Medicine) na kufundisha madaktari wengi wa upasuaji wa moyo waliopitia katika Hospitali ya John Hopkins. Hivyo operesheni hii huitwa ‘Blalock-Taussing Shunt’. Lakini historia itamkumbuka Dkt. Vivien Thomas kwa mchango wake.

Operesheni hii ilikuwa ni ya kuunganisha baadhi ya mishipa ya damu ili kuwezesha mwili wa mtoto kupata hewa safi. Ingawa operesheni hii ilikuwa si ya kufungua moyo moja kwa moja lakini ilisaidia kutoa mwanga kuwa inawezekana kuufanyia moyo upasuaji na kurekebisha kasoro zilizo ndani ya moyo.

Hivyo madaktari na wanasayansi waliendelea na majaribio mbalimbali kwa kutumia wanyama na hadi baada ya vita ya Pili ya Dunia ambapo baadaye Dkt. John Gibbon na mkewe Mary Gibbon katika chuo kikuu cha Minnesota mjini Minneapolis nchini Marekani walipofanikiwa kugundua mashine ya

Ultrasound ni chombo ambacho kimekuwa kikitumiwa na madaktari wengi sehemu mbalimbali duniani kwa ajili ya kuchunguza matatizo mbali mbali yaliyo ndani ya mwili wa mgonjwa.

Mojawapo ya matumizi maarufu ya chombo hiki kwa wanawake ni utambuzi wa jinsi mtoto alivyokaa tumboni mwa mama mjamzito,kuchunguza umbo la mfuko wa uzazi, matatizo katika mfumo wa uzazi na pia kuangalia iwapo kiumbe kilichopo ndani ya tumbo la mama mjamzito ni hai ama la.

Hivi karibuni huko nchini Uingereza, madaktari wamebuni kipimo cha Ultrasound kinachoweza kugundua kansa ya mfuko wa kizazi mapema kabla ya hata dalili hazijaanza kujitokeza kwa mgonjwa. Kipimo hicho kina uwezo wa kugundua kansa ya mfuko wa uzazi kwa mwanamke ikiwa katika hatua za awali kabisa kabla hata ya dalili zake kuanza kujitokeza rasmi.

Watafiti hao wamesema kwamba hii ni hatua kubwa katika kukabiliana na Ugonjwa wa kansa ya mfuko wa kizazi kwa kina mama katika nchi zinazoendelea, na wanatarajia kwamba chombo hiki kinaweza kuanza kutumika muda si mrefu hasa katika nchi zinazoendelea.

Watafiti hao wamedai kuwa ni matarajio yao kuwa chombo hiki kitakapoanza kutumika, kitakuwa ni miongoni mwa vipimo vya lazima kabisa ambavyo mgonjwa anatakiwa kufanyiwa (Routine) wakati wa kuwafanyia kina mama uchunguzi wa afya zao.

Kuna wastani wa wagonjwa wapya 60,000 wa kansa ya mfuko wa kizazi kila mwaka wengi wao wakiwa kwenye umri wa miaka 60. Aidha kwenye nchi zilizoendelea, ugonjwa huu husababisha wastani wa vifo 1,700 kila mwaka. Tangu mwaka 1970, idadi ya wagonjwa wa kansa ya mfuko wa kizazi imeongezeka kwa asilimia 50, huku wataalamu wa afya wakisema imetokana na wanawake wengi kupenda kuzaa watoto kidogo  pamoja na kuongezeka uzito (Obesity).

Watafiti hao kutoka chuo Kikuu cha London, nchini Uingereza wamesema kipimo hicho cha ultrasound (Ultrasound specialist test) kina uwezo wa kupima unene wa mfuko wa uzazi hivyo kutoa picha zinazowezesha kugundulika kwa kansa mapema.

Katika utafiti wao, kati ya wanawake 96 waliopimwa kwa kutumia chombo hicho, asilimia 80 waligundulika kuwa na kansa ya mfuko wa uzazi kwa usahihi kabisa hata kabla hawajaanza kuonesha dalili kama za kutoka damu kwa wingi kwenye sehemu zao za siri.

Watafiti hao bado wanaendelea kuwapima kina mama zaidi ili kujua uhakika wa kipimo chao katika kugundua kansa katika hatua za awali. Kwa kawaida iwapo kansa itagundulika mapema, mgonjwa ana nafasi kubwa ya kuishi iwapo atapata tiba mapema kabla hata kansa haijasambaa au kuenea mwilini.

Kansa ya mfuko wa kizazi huwapata kina mama ambao wameshafikia ukomo wa kupata hedhi kila mwezi na ambao wana umri kati ya miaka  60 hadi 69. Aidha wanawake wanakuwa katika hatari kubwa zaidi iwapo kiwango cha homoni aina ya oestrogen kitakuwa juu kuliko kawaida.

Kwa kawaida homoni hii ya oestrogen huwa katika kiwango cha chini sana wakati wa ujauzito, na wanawake wenye watoto wachache huwa na kiwango kikubwa cha homoni hii hivyo kuwa kwenye hatari ya kupata kansa hii ya mfuko wa uzazi.

Wanawake wanene (Obese) nao wapo kwenye hatari ya kupata aina hii ya kansa kwa vile wengi wao huwa na kiwango cha juu sana cha homoni hii ya oestrogen kwa vile mafuta yaliyolundikana mwilini hubadilisha homoni za aina nyingine kuwa oestrogen.

Ian Jacobs, mtafiti mkuu katika utafiti huo uliochapishwa katika jarida maarufu la afya la The Lancet amesema, “Miaka kadhaa ijayo, wanawake wanene, waliozaa mara chache, na wenye matatizo ya ugonjwa wa shinikizo la damu wanastahili kufanyiwa uchunguzi wa mifuko yao ya uzazi mapema kwa kutumia kipimo hicho ili kutambua kama wana kansa hii ya mfuko wa kizazi au la”.

Mkurugenzi wa kitengo cha utafiti wa kansa nchini Uingereza, ambao ndio waliofadhili utafiti huo, Bi. Kate Law, amesema matokeo ya utafiti huo yameonesha kuwa kipimo cha Ultrasound kinaweza kutumika na madaktari katika kuwawezesha kugundua aina ya kansa hiyo mapema.

Aina mbili ya chembe chembe za asilia za mwanadamu (genes) zinazohusishwa na kansa hii zimegundulika, ambazo pia huongeza hatari ya ugonjwa mwingine wa mfuko wa uzazi unaoitwa  Endometriosis kwa asilimia 20.

Ugunduzi huo ni hatua muhimu katika utengenezaji wa dawa ya kutibu kiini cha kansa hiyo na pia unafungua njia katika kubuni vipimo vya damu vya kugundua kansa hii kwa haraka. Chembe chembe hizo za asili (genes) zinahusika katika utengenezaji wa ukuta wa mfuko wa uzazi pamoja na kutengeza homoni za  aina nyingi, watafiti hao wamesema.

Ugonjwa huu wa Endometriosis ambao husababisha matatizo ya uzazi, hutokea baada ya ukuta wa mfuko wa uzazi kuanza kuota katika sehemu nyingine za mwili wa mwanadamu.

Inatarajiwa kwamba pindi utafiti huu utakapokamilika, kipimo hiki kitaanza kutumika muda si mrefu katika nchi nyingi duniani ili kuokoa vifo vya kina mama wengi duniani.

For children under five (5) years of age

Introduction: Taking care of your child’s oral health is important and should start at an early age. Parents and care givers should start caring for their Child’s mouth from birth.

A closer look at the child’s mouth: The mouth is made up of different parts all working together for normal function of the body. It’s used for speaking, singing, eating, swallowing and showing emotions.

The parts that make up the mouth are:- Teeth, Gums, Tongue and Lips. Children start getting their first teeth around six month of age , and by three years of age all 20 teeth should have appeared in the mouth- 10 at the upper and 10 at the lower jaw. These teeth are at times called milk or primary teeth.

Introduction

Bahi district is one amongst six districts that make up Dodoma region. It extends between latitude 4o and 8o South and between longitude35o and 37o East. The district has an area of 5948 square km, and borders Kondoa district to the north, Manyoni to the west, Dodoma municipal to the south west and Chamwino district to the East. The district is divided into 4 divisions of Chipanga, Bahi, Mundemu and Mwitikila. The four divisions have a total of 21 wards, 56 villages and 1559 hamlets. The 2002 national census projected a population density of about 238,951 (District Council profile, 2010).

Health care facilities

Bahi district council has no district hospital, however, it has a total number of 35 health care facilities. Among these heath care facilities, six are health centers and 29 are dispensaries. There are 27 health care providers who have been trained to manage mental illnesses.

Background on Mental Health

The WHO defines health as a state of complete physical, psychological and social well being, and not just the absence of disease or infirmity.

Ugonjwa wa kisukari ni tatizo ambalo siku hizi husababishwa na mfumo wa maisha tunayoishi hasa vijana, tafiti zilizowahi kufanywa zinaonesha kuwa vijana wapo kwenye hatari kubwa ya kupata kisukari kwa sababu ya mfumo usio sahihi wa maisha wanayoishi vijana.

Kutokufanya mazoezi, kukosa muda wa kupumzika na kutokula mlo sahihi,unywaji wa pombe na uvutaji sigara wa kupitiliza, hizi ni sababu chache zinazochangia vijana kuishi katika mfumo wa maisha hatarishi wa kupata maradhi ya kisukari.

Leo tunaangalia suala zima la chakula kwa watu mwenye maradhi ya kisukari,madaktari wapo wengi sana kwenye hospitali zetu pamoja na majumbani mwetu lakini wewe mwenye ugonjwa wa  kisukari ndiyo daktari namba moja katika kutibu afya yako.

Kitu muhimu kwa mgonjwa wa kisukari ni  kufahamu ya kwamba  ana uwanja mpana  sana wa vyakula anavyoruhusiwa kula tofauti na  na mazoea yaliyojengeka miongoni mwetu kuwa mtu anayeuugua maradhi haya basi ana  vyakula vyake vya kipekee kabisa. Maisha ya mtu mwenye kisukari yanatakiwa kuendelea kama kawaida, na unaruhusiwa kula aina zote za vyakula isipokuwa tu vile venye sukari.

Ukurasa 10 ya 11