Je ni magonjwa gani ya moyo husababisha Kukakamaa kwa mwili ?
- Shambulizi la moyo
- Moyo kushindwa kufanya kazi vizuri
- Shida ya misuli ya moyo
- Magonjwa ya moyo ya kuzaliwa nayo
- Upasuaji wa moyo
- Magonjwa ya valvu za moyo
- Moyo kupiga bila mpangilio
- Dawa za magonjwa ya moyo
Kwa watoto kunatatizo la mapigo ya moyo kupiga kupungua na saa nyingine kuongezeka kitaalamu Bradycardia tachycardia syndrome (sick sinus syndrome) hufananishwa na kifafa. Na kunatatizo jingine la moyo liitwalo kitaalamu Long QT syndrome ambalo husababisha Kukakamaa kwa mwili , kupoteza fahamu na hata kufa ghafla.
Ni vitu gani vinaweza kuwa vihatarishi vya kupelekea Kukakamaa kwa mwili?
- Shinikizo la damu
- Kisukari
- Kuvuta sigara
- Cholesterol kuwa nyingi mwilini
- Historia ya familia kuwa na magonjwa ya moyo na mishipa ya damu kuziba
Vipimo gani vinashauriwa kufanywa japo mara mbili kwa mwaka?
- ECG
- Kipimo cha kujua wingi wa cholesterol mwilini
- Kipimo cha kisukari
- EEG