Faida na mambo muhimu 5 ya
Written by TanzMED AdminKatika ulimwengu wa leo, kuna njia nyingi za kujikinga na maambukizi ya virusi vya ukimwi (VVU). Njia mojawapo ni kwa wapenzi kufuata maadili ya dini na kuacha
Je wajue, Matumizi bora ya
Written by TanzMED AdminDawa za kufubaza makali ya ugonjwa wa ukimwi husababisha virusi hivyo visiendelee kuzaliana, na kama havitoendelea kuzaliana basi seli za kinga za mwanadamu zitaishi kwa mua mrefu
Njia thabiti ya kujikinga na
Written by TanzMED AdminVVU/Ukimwi umeenelea kuwa ni moja kati ya changamoto kubwa katika sekta ya Afya duniani haswa kwa nchi zinazoendelea. Kutokana na Takwimu za Shirika la Afya Duniani (
Tohara kwa wanaume ni oparesheni inayohusu kuondolewa kwa sehemu ya ngozi au ngozi yote inayofunika kichwa cha uume, na imekuwa ikifanywa na baadhi ya watu katika makabila
Je kukojoa baada ya tendo
Written by Dr KhamisSiku hizi, kumekuwa na taarifa nyingi juu ya masuala ya uzazi. Taarifa hizi hutokana na imani tofauti zilizopo kwenye jamii. Na, nyingi ya imani hizi hazina uhakika
Je ninaweza kupata mimba baada
Written by Dr.MayalaNdiyo, kuna uwezekano wa kupata ujauzito mara baada ya kujifungua kabla haujapata mzunguko mwingine wa hedhi. Hii ni kwa sababu, yai la mwanamke huwa linapevuka wiki mbili
Ugonjwa wa Lupus; Dalili, vipimo
Written by Dr.Mayala
Ni moja kati ya magonjwa sugu yahusuyo mfumo wa kinga ya mwili kushambulia mwili wako na huwa na mtindo wa kuwa na kipindi cha kupata
Fibroids; Chanzo, vipimo na matibabu
Written by Dr KhamisFibroids ni moja ya matatizo yanayowasumbua wanawake wengi , kwa lugha ya kawaida, Fibroids maana yake ni uvimbe wa msuli wa kifuko cha uzazi. Uvimbe huu unaweza kuwa
Jinsi ya kupunguza maumivu wakati
Written by Dr KhamisZipo njia nyingi ya kutibia maumivu ya hedhi.
Mojawapo ni kuweka chupa au mfuko wenye maji ya moto kwenye sehemu ya chini ya tumbo (isiwe
Visababishi vya amenorrhea vyaweza kugawanywa katika makundi makuu matatu, vile vinavyohusisha matatizo katika mfumo wa homoni, vile vinavyohusisha matatizo ya kimaumbile katika njia ya uzazi ya mwanamke
More...
Muda gani inafaa kubeba mimba
Written by Dr KhamisMaumivu wakati wa hedhi
Written by Dr KhamisKupungua au Kukosa Hamu ya
Written by Dr KhamisMatatizo ya kukosa au kupungua hamu ya kujamiana yanatambulika kama tatizo linalojirudia kwa muda mrefu ambapo huathiri mzunguko wa tendo la kujamiana (kusisimka, kufikia kilele, kurudia) na
Jiamini, Kisukari siyo mwisho wa
Written by TanzMED AdminKujikubali ni jambo muhimu sana, kutayarisha akili yako na kuikubali hali hiyo ya kuwa na ugonjwa wa kisukari,na kuiambia akili yako kuwa ugonjwa huu hauponi ni